Raha Jipe mwenyewe usisubiri kupewa kana anavyoonekana mbuzi huyu akiwa katika mapumziko juu ya gari katika maeneo ya mtaa jirani na msikiti shurba kidongochekundu Wilaya ya Mjini Unguja, kama alivyokuta na mpiga picha wetu katika eneo.
SIKU 3 ZA MKOA WA DODOMA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI NA KUTOA TAARIFA SIKU
100 ZA DKT SAMIA.
-
Mkuu wa Mkoa Dodoma Mhe Rosemary Senyalume ametoa wito kwa Wananchi wote wa
Mkoa Dodoma kujitokeza kutumia fursa ya kutoa kero zao na kupata utatuzi
kati...
5 hours ago



0 Comments