Habari : Rais Samia Awataka Watanzania kuwa Wazalendo, Wakajiandikishe
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Chamwino Dodoma
RAIS wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan ameboresha taarifa zake za mpiga kura
katika Kijiji Chamwino Ikulu, h...
9 hours ago
Inafaa wakubwa waliangalie sana hili suali la usafi wa mazingira. Tumekuwa hatujali masuali ya usafi zaidi sehemu kama hizi muhimu na nyenginezo. Tunadharau, tunajidharau na watu zaidi wageni wakituona tuko hivi nao pia wanatudharau. Wenye dhamana zao tafadhalini wachukue hatua kutengeneza na kuyang'arisha maeneo kama haya na mengineyo. Au mpaka tusubiri atokezee mgeni au mfadhili pia agharimie jambo hilo. Aibu tupu.
ReplyDeleteMimi sishangai hivi ndivyo utawala wa wakulima na wakwezi unavyokua lakusikitisha tu ni kwamba kuna watu ati wanataka zanzibari huru ili wazidi kuwapa pawa wakulima na wakwezi watuadhibu.
ReplyDeleteMimi nna wasi wasi hivi visiwa vina laana. Haiwezekani kila siku watu wanasoma na 'kugraduate' halafu washindwe kufikiri sawasawa.
ReplyDeleteSuala hapo si usafi pekee, eneo lenyewe hilo limeshakua dogo! hebu tazama; Maghala, gati ya majahazi, kisoko cha samaki,chelezo ya kufanyia matengenezo vyombo vidogo vidogo, magenge ya vyakula vyote vipo hapo, wakati eneo kama hilo limefika 'kwa mpigaduri'kuelekea Maruhubi..wahadimu bwana!!
Ipo haja ya kukusanya Mashekhe wote wa dunia kuja kuviombea dua visiwa vyetu...Haiwezekani..kuna namna!
Kuna rafki yangu mmoja kanambia SMZ imepima viwanja Tunguu lkn. wamesahau kutenga eneo la makaburi ya jumuiya(public cementry)..yaani wasiwokua na shamba waende kwerekwe(12km.kutoka Tunguu).
Leo hii wapo China eti wanaangalia uwezekano wa kusaidiwa kujenga daraja kutoka Z'bar hadi DSM. wakati badari ya madagaa malindi imeoza! Feri palikua kama vile, nenda leo hii, hupajui! waliiomba serikali ya Japani..aah, leo safii! sisi tunaomba daraja Z'bar-Dar.