Wananchi wakitowa msaada gari ilioacha njia na kuingia katika kolongo jirani na uwanja wa Daizi Mchangani, katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa na hatimai wamefanikiwa kuitowa katika kolongo hilo, barabara hiyo ya Malindi inafanyiwa matengenezo makubwa ya kuwekewa lami mpya ili kuimarisha miundombinu ya barabara za mjini.
Jamii Yaaswa Kufuatilia na Kuchangamkia Fursa za Maendeleo Zinazotolewa na
Serikali
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
JAMII imetakiwa kuwa mstari wa mbele katika kufuatilia, kutambua na
kuchangamkia fursa mbalimbali za maendeleo zinazotolewa n...
7 hours ago
0 Comments