Wananchi wakitowa msaada gari ilioacha njia na kuingia katika kolongo jirani na uwanja wa Daizi Mchangani, katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa na hatimai wamefanikiwa kuitowa katika kolongo hilo, barabara hiyo ya Malindi inafanyiwa matengenezo makubwa ya kuwekewa lami mpya ili kuimarisha miundombinu ya barabara za mjini.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
58 minutes ago
0 Comments