Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal wakiwa katika maongeze walipofika katika Ikulu ya Zanzibar kuonana na Rais Shein baad ya kutmbelea majeruhi na kutembelea maeneo yaliotengwa kwa ajili ya kupokele maiti katika viwanja vya maisara maongezi hayo yamefanyika katika Ikulu ya Zanzibar leo.(Picha na Ikulu )
KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na
kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima ...
4 hours ago

0 Comments