Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Zanzibar Dr Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal wakiwa katika maongeze walipofika katika Ikulu ya Zanzibar kuonana na Rais Shein baad ya kutmbelea majeruhi na kutembelea maeneo yaliotengwa kwa ajili ya kupokele maiti katika viwanja vya maisara maongezi hayo yamefanyika katika Ikulu ya Zanzibar leo.(Picha na Ikulu )
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment