Walimu wa kujitolea wa Mama Nursery iliyopo Uzi Meli Nne wakiwa katika darasa la kupika chapati. Walimu hawa wanapenda mno mapishi ya Kizanzibari na wamedhamiria kuwa wataalam wa kupika vyakula vya kiswahili kwani ni vitamu yakhe. Kutoka kushoto ni mwalimu Nuru akifuatiwa na Bi. Mariam.
SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation.*
1. Introduction.
The United Republic ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment