Walimu wa kujitolea wa Mama Nursery iliyopo Uzi Meli Nne wakiwa katika darasa la kupika chapati. Walimu hawa wanapenda mno mapishi ya Kizanzibari na wamedhamiria kuwa wataalam wa kupika vyakula vya kiswahili kwani ni vitamu yakhe. Kutoka kushoto ni mwalimu Nuru akifuatiwa na Bi. Mariam.
Taasisi ya Pamoja Youth Initiative (PYI) inaendelea kuwapatia mafunzo
vijana wa Kizanzibar
-
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana Masoud Juma Haji amesema
Taasisi ya Pamoja Youth Initiative (PYI) inaendelea kuwapatia mafunzo
vijana wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment