Walimu wa kujitolea wa Mama Nursery iliyopo Uzi Meli Nne wakiwa katika darasa la kupika chapati. Walimu hawa wanapenda mno mapishi ya Kizanzibari na wamedhamiria kuwa wataalam wa kupika vyakula vya kiswahili kwani ni vitamu yakhe. Kutoka kushoto ni mwalimu Nuru akifuatiwa na Bi. Mariam.
TANCDA Yatoa Wito wa Mabadiliko ya Maisha; Yazindua Mpango wa Kidijitali wa
Smart Health Journey
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MUUNGANO wa Magonjwa Yasiyo ya Kuambukiza Tanzania (TANCDA) umetoa wito wa
mabadiliko ya haraka ya mitindo ya maisha mi...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment