Walimu wa kujitolea wa Mama Nursery iliyopo Uzi Meli Nne wakiwa katika darasa la kupika chapati. Walimu hawa wanapenda mno mapishi ya Kizanzibari na wamedhamiria kuwa wataalam wa kupika vyakula vya kiswahili kwani ni vitamu yakhe. Kutoka kushoto ni mwalimu Nuru akifuatiwa na Bi. Mariam.
RAIS DKT SAMIA MGENI RASMI SHEREHE ZA MAADHIMISHO MIAKA 50 YA UHURU NCHINI
COMORO
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro alipowasili kwenye
Uwanja...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment