Habari za Punde

Rais wa Zanzibar Dk. Shein Akutana na Shekh. Ali Yussouf K


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na   Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuonana  Rais jana 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na  Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Al Youseif Sheikh Abdullah Mohamed Alyouseif,alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuonana  Rais jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.