Sehemu iliokuwa umeharibika kutokana na mvua ilionyesha jana na kuleta uharibifu katika miundombinu ya barabara, katika mitaa ya mji mkongwe maeneo ya mkunazini ikiwa tayari imeshafanyiwa matengenezo na taasisi inayohisika ili kuweka sawa na kutowa huduma kwa watembea kwa miguu wanaotumia njia hiyo.
KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na
kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima ...
5 hours ago
0 Comments