Sehemu iliokuwa umeharibika kutokana na mvua ilionyesha jana na kuleta uharibifu katika miundombinu ya barabara, katika mitaa ya mji mkongwe maeneo ya mkunazini ikiwa tayari imeshafanyiwa matengenezo na taasisi inayohisika ili kuweka sawa na kutowa huduma kwa watembea kwa miguu wanaotumia njia hiyo.
DIRA 2050 YA TANZANIA TUITAKAYO IMEKAMILIKA,RAIS SAMIA KUIZINDUA JULAI 17
-
*Dk.Samia aingia katika historia ya kuandika dira isiiyokuwa na muelekeo wa
Itikadi ya Chama
*Profesa Mkumbo ataja hatua kwa hatua jinsi mchakato ulivyo...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment