Sehemu iliokuwa umeharibika kutokana na mvua ilionyesha jana na kuleta uharibifu katika miundombinu ya barabara, katika mitaa ya mji mkongwe maeneo ya mkunazini ikiwa tayari imeshafanyiwa matengenezo na taasisi inayohisika ili kuweka sawa na kutowa huduma kwa watembea kwa miguu wanaotumia njia hiyo.
OUT YAONGOZA MJADALA WA MAENDELEO ENDELEVU BARANI AFRIKA, KONGAMANO LA
BAASANA
-
Kongamano la Pili la Kitaaluma la BAASANA Afrika limezinduliwa rasmi
jijini Arusha, likiwakutanisha wanazuoni na wataalamu kutoka mataifa
mbalimbali kuja...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment