Wakati nikiwa katika pirika zangu za hapa na pale kutafuta matukio mitaani nimekutana na Vijana hawa wakiwa katika gari la Punda wakitokea katika maeneo ya Mwanakwerekwe Unguja wakati nikizidi kuzubaa kuangalia huku na kule , na kugunduwa kuwa walikuwa wakirudi mazikoni katika makaburi ya Mwanakwerekwe.
Walikwenda mazikoni kumzika kijana mwezao na kupigwa na butwaa huyu marehemu alikuwa katika ajira hii ya kuchukuwa mizigo kupitia gari ya punda au vipi bila kupata majibu ya suala hilo na kuzidi kuona magari ya punda zaidi ya manne yakitokea katika maeneo ya makaburini.
na kurudi mjini baada ya kumalizika maziko hayo na mimi bila ya kupata jibu kulikoni .Mwenyezimungu amlaze mahali pema peponi marehemu. Amin.
Kumbukizi ya Kifo cha Hayati Nyerere: Afya Club Yaendesha Usafi na Upimaji
Bure Songea
-
Katika kuelekea kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius
Kambarage Nyerere, Afya Club imeanza shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo
ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment