Mafundi wakiweka paipi ya maji kwa ajili ya kutowa huduma ya maji kwa Wananchi wa jimbo la Kikwajuni katika eneo la kikwajuni Mao Mhe, Masauni akishirikiana na Wananchi wa jimbo hilo kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa uhakika na salama.wakiweka paipu hiyo katika maeneo ya barabara ya mao.
KILIMO CHA KISASA NGUZO YA USALAMA WA CHAKULA NA UCHUMI WA KIJANI
-
Na Farida Mangube, Morogoro
Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na
kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima ...
5 hours ago
0 Comments