Mstahiki Meya wa Mji wa Zanzibar Abdulrahman Khatib akifungua semina ya namna bora ya kushughulikia Mazingira ya Usafi na kuondoa Uchafu katika maeneo ya Mji wa Zanzibar, kwa kutowa mafunzo kwa Washiriki hao uliofanyika katika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar..
Washirika wa Semini ya kuwawezesha Washiriki wa mbali mbali kutoka taasisi zisizokuwa za Kiserikali wakimsikiliza Mstahiki Meya wa Mji wa Zanzibar wakati akifungua semina kuhusu kusimamia vizuri uchafu
No comments:
Post a Comment