Wananchi wakiwa katikaharakati za maandalizi ya watoto wao kwa ajili ya sikukuu wakiwa katika maduka ya nguo na viati 
Mambo ya Marikiti hayo ya maandalizi ya futari katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani marikiti ya darajani pirika zimekuwa nyingi katika marikiti hiyo kwa wananchi kufuata mahitaji
Chifu Buhanga azindua kampeni ya mitandaoni ya kulinda amani
-
Na MWANDISHI WETU
CHIFU Buhanga wa Kabila la Wasukuma na Wazinza ambaye pia ni mwanaharakati
mzalendo wa masuala ya kijami na kisiasa, amezindua kampeni ma...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment