Wananchi wakiwa katikaharakati za maandalizi ya watoto wao kwa ajili ya sikukuu wakiwa katika maduka ya nguo na viati 
Mambo ya Marikiti hayo ya maandalizi ya futari katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa ramadhani marikiti ya darajani pirika zimekuwa nyingi katika marikiti hiyo kwa wananchi kufuata mahitaji
DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment