Wananchi wa kijiji cha Chamani wakiwa na vipolo vya wakirudi kuchuma karafuu, wakitumia usafiri wa baskeli ni moja ya usafiri mwepesi na wa haraka katika maeneo ya vijijini.
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
Ahsante kwa picha nzuri. Niliishi kijiji hichi takriban miaka 25. Siamini Leo nipo kwa Obama. Mtu Ni kwao. I miss it alot!.
ReplyDelete