Wananchi wa kijiji cha Chamani wakiwa na vipolo vya wakirudi kuchuma karafuu, wakitumia usafiri wa baskeli ni moja ya usafiri mwepesi na wa haraka katika maeneo ya vijijini.
WAZEE WA ARUSHA WAFANYA MATEMBEZI YA AMANI KUMUENZI BABA WA TAIFA
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Wazee wa Mkoa wa Arusha wamefanya matembezi ya amani kuadhimisha miaka 26
ya kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Juliu...
2 hours ago
Ahsante kwa picha nzuri. Niliishi kijiji hichi takriban miaka 25. Siamini Leo nipo kwa Obama. Mtu Ni kwao. I miss it alot!.
ReplyDelete