Habari za Punde

Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki Wakiangalia Majina Yao.

 Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiangalia majina yao katika kituo cha kupigia katika skuli ya Kiembesamaki wakati wa zoezi la Uchanguzi Mdogo wa Mwakilishi wajuwe kituo chao cha kupigia kura, ili wasipate shida wakati wa kupiga kurao tarehe 2-2-2014.  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.