Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiangalia majina yao katika kituo cha kupigia katika skuli ya Kiembesamaki wakati wa zoezi la Uchanguzi Mdogo wa Mwakilishi wajuwe kituo chao cha kupigia kura, ili wasipate shida wakati wa kupiga kurao tarehe 2-2-2014.
WANANCHI WA MOHORO WAMSHUKURU RAIS SAMIA
-
-Mhe. Mchengerwa afuturisha, Mohoro, Chumbi,Mbwala na Shela
-Maelfu ya wananchi washiriki futari, wamsifu Mchengerwa
Na Yohana Kidaga- Mohoro
Wananchi w...
46 minutes ago
0 Comments