Wananchi wa Jimbo la Kiembesamaki wakiangalia majina yao katika kituo cha kupigia katika skuli ya Kiembesamaki wakati wa zoezi la Uchanguzi Mdogo wa Mwakilishi wajuwe kituo chao cha kupigia kura, ili wasipate shida wakati wa kupiga kurao tarehe 2-2-2014.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment