Wanafunzi wa Vyoo mbalimbali Zanzibar wanafaidika na huduma ya bure ya mtandao kupitia kampuni ya Zanlink hutowa huduma hiyo ya Bure ya Wifi katika maeneo ya Bustani ya Forodhani na Bustani ya Jamuhuri weles, wanafunzi wengi hunufaika na huduma hiyo kurahisisha kazi zao kwa kupitia katika mitandao, kama walivyokutwa na Mdua wakiwa katika makao makuu ya Ofisi hiyo majestik Zenj wakichati masomo yao kupitia taika mtandao.kutoka
katika kampuni ya Zanlink majestic wakipata huduma hiyo kama walivyokutwa na
mpiga picha wetu akiwa katika mizunguko ya mitaani
Viongozi wa Dini Watoboa Siri: Ndoa za Utotoni Zazidi Kushamiri Vijijini
Licha ya Sheria
-
Dar es Salaam, Machi 28, 2026 — Viongozi wa dini nchini wameeleza wasiwasi
wao kuhusu kuendelea kwa ndoa za utotoni, wakibainisha kuwa changamoto ya
uelewa...
41 minutes ago
0 Comments