Wanafunzi wa Vyoo mbalimbali Zanzibar wanafaidika na huduma ya bure ya mtandao kupitia kampuni ya Zanlink hutowa huduma hiyo ya Bure ya Wifi katika maeneo ya Bustani ya Forodhani na Bustani ya Jamuhuri weles, wanafunzi wengi hunufaika na huduma hiyo kurahisisha kazi zao kwa kupitia katika mitandao, kama walivyokutwa na Mdua wakiwa katika makao makuu ya Ofisi hiyo majestik Zenj wakichati masomo yao kupitia taika mtandao.kutoka
katika kampuni ya Zanlink majestic wakipata huduma hiyo kama walivyokutwa na
mpiga picha wetu akiwa katika mizunguko ya mitaani
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment