Wanafunzi wa Vyoo mbalimbali Zanzibar wanafaidika na huduma ya bure ya mtandao kupitia kampuni ya Zanlink hutowa huduma hiyo ya Bure ya Wifi katika maeneo ya Bustani ya Forodhani na Bustani ya Jamuhuri weles, wanafunzi wengi hunufaika na huduma hiyo kurahisisha kazi zao kwa kupitia katika mitandao, kama walivyokutwa na Mdua wakiwa katika makao makuu ya Ofisi hiyo majestik Zenj wakichati masomo yao kupitia taika mtandao.kutoka
katika kampuni ya Zanlink majestic wakipata huduma hiyo kama walivyokutwa na
mpiga picha wetu akiwa katika mizunguko ya mitaani
DKT. MWIGULU AKAGUA HALI YA UZALISHAJI NA USAMBAZAJI WA MAJI RUVU CHINI
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 29, 2025 amekagua hali za
uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoani Pwani.
Akizungumza ba...
1 hour ago
0 Comments