Habari za Punde

Mambo ya Mtandao wa Zanlink hayo

Wanafunzi wa Vyoo mbalimbali Zanzibar wanafaidika na huduma ya bure ya mtandao kupitia kampuni ya Zanlink hutowa huduma hiyo ya Bure ya Wifi katika maeneo ya Bustani ya Forodhani na Bustani ya Jamuhuri weles, wanafunzi wengi hunufaika na huduma hiyo kurahisisha kazi zao kwa kupitia katika mitandao, kama walivyokutwa na Mdua wakiwa katika makao makuu ya Ofisi hiyo majestik Zenj wakichati masomo yao kupitia taika mtandao.kutoka katika kampuni ya Zanlink majestic wakipata huduma hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika mizunguko ya mitaani 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.