Wanafunzi wa Vyoo mbalimbali Zanzibar wanafaidika na huduma ya bure ya mtandao kupitia kampuni ya Zanlink hutowa huduma hiyo ya Bure ya Wifi katika maeneo ya Bustani ya Forodhani na Bustani ya Jamuhuri weles, wanafunzi wengi hunufaika na huduma hiyo kurahisisha kazi zao kwa kupitia katika mitandao, kama walivyokutwa na Mdua wakiwa katika makao makuu ya Ofisi hiyo majestik Zenj wakichati masomo yao kupitia taika mtandao.kutoka
katika kampuni ya Zanlink majestic wakipata huduma hiyo kama walivyokutwa na
mpiga picha wetu akiwa katika mizunguko ya mitaani
Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment