BAADHI ya wafanya Biashara ya ndizi za aina mbali
mbali, wakiwa katika mnada wa ndizi ndani ya soko kongwe la chake chake, ambapo
bei ya bidhaa hizo katika mwezi huu wa Ramadhani zimepanda bei kupitia kiasi,
mkungu mmoja uliokuwa ukiuza kati ya 8000 hadi 10000 upanda kufikia elfu 20000
hadi 30000.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
KUFUATIA mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufika, bidhaa
ya ndizi mbivu aina ya mkono mmoja, zimepanda bei maradufu kidole kimoja
kilichokuwa kikiuzwa shilingi 500 hadio 700 na kupanda hadi kufikia 1500 na
2000.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
BIASHARA ya ndizi imeonekana kupendwa na wananchi
wengi katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani, pichani mteja
akinunua ndizi ya mkono mmoja katika soko la chake chake.(Picha na Bakari Mussa,PEMBA.)
~~
MFANYABIASHARA wa ndizi katika soko la Chake Chake,
akimuuzia mtenja ndizi aina ya mkono mmoja, kama alivyokutwa na mpiga picha
wetu.(Picha na Wapiga Picha wetu,
PEMBA.)
No comments:
Post a Comment