Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, ZEC, Salim Kassim Ali, akitowa maelezo juu mkutano wa Wadau wa Uchaguzi huko katika ukumbi wa hifadhi Chake Chake Pemba.
Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar , (ZEC) wakiwa katika muitano na Wadau wa Uchaguzi Pemba.
Wadau wa Uchaguzi Pemba, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) akati akifunguwa mkutano kwa Wadau hao
PICHA NA BAKAR MUSSA-PEMBA.
No comments:
Post a Comment