Karibu katika sehemu ya kwanza ya mahojiano na mbunifu wa kimataifa wa mitindo mwenye asili ya Tanzania, Linda Bezuidenhout
Ameeleza mengi ikiwa ni pamoja na historia yake kwa ufupi, safari yake kwenda nje ya nchi, alivyorejea na kuanza harakati zake za mitindo
Nani alimfanya ashawishike na fani hii?
Maisha yake kimahusiano je?
Familia yake sasa na inavyokabiliana na kazi zake?
KARIBU
STANDARD CHARTERED TANZANIA YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA
MCHANGO NA ELIMU YA FEDHA KATIKA HOSPITALI YA CCBRT
-
Dar es Salaam, Tanzania – 13 Machi 2026 – Katika kuadhimisha Siku ya
Wanawake Duniani, Standard Chartered Tanzania imetembelea Hospitali ya
CCBRT na kutoa ...
11 minutes ago

0 Comments