Karibu katika sehemu ya kwanza ya mahojiano na mbunifu wa kimataifa wa mitindo mwenye asili ya Tanzania, Linda Bezuidenhout
Ameeleza mengi ikiwa ni pamoja na historia yake kwa ufupi, safari yake kwenda nje ya nchi, alivyorejea na kuanza harakati zake za mitindo
Nani alimfanya ashawishike na fani hii?
Maisha yake kimahusiano je?
Familia yake sasa na inavyokabiliana na kazi zake?
KARIBU
TEA, UNICEF NA MAPINDUZI YA SAYANSI MASHULENI - SONGWE.
-
Afisa miradi kutoka TEA Bi. Atugonza David akikagua maabara ya Sayansi
Shule ya Sekondari Itumba ambayo imekarabatiwa na kumaliziwa ujenzi na TEA
kwa kush...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment