Habari za Punde

Marikiti Kuu ya Darajani

Wafanyabiashara  katika marikiti kuu ya darajani wakiwa katika harakati za biashara zao wakisubiri wateja kufuata mahitaji yao marikiti hii ni moja ya mariki za historia katika mji wa Zanzibar na kivutio cha watalii wanaofika Zanzibar.
Eneo la marikiti kuu ya darajani likiwa katika hali ya usafi baada ya Baraza la Manispa Zanzibar  kuwazuiya wafanyabiashara katika eneo hilo kutofanya biashara, agizo hili liwe endelevu ili kuliweka eneo hili katika hali ya muonekano wake wa usafi katika mazingira ya marikiti hiyo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.