Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Kazi Maalum Mhe:Profesa Mark Mwandosya, akizungumza na Mjumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Vijana Ndg.Daudi Khamis Juma, wakati alipowasili
katika skuli ya Wawi Msingi Chake Chake Pemba, katika hafla ya kukabidhi
zawadi kwa wanafunzi 17 waliopasi Michipuo mwaka 2014/2015
Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na wanafunzi, walimu na
wazazi wa wanafunzi wa skuli ya Wawi msingi Chake Chake Pemba, katika hafla ya
kuwakabidhi zawadi wanafunzi 17 waliofaulu Michipua.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Kazi Maalum Mhe:Profesa Mark Mwandosya, akizungumza na wazazi, walimu
na wanafunzi wa Skuli ya Wawi Msingi Kisiwani Pemba, kabla ya kukabidhi zawadi
kwa wanafunzi 17 waliofaulu Michipuo wa Darasa la Saba mwaka 2014/2015
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Kazi Maalum Mhe:Profesa Mark Mwandosya, akimkabidhi Zawadi mmoja kati
ya wanafunzi 17 waliofaulu Michipuo katika Skuli ya Wawi Msingi Kisiwani Pemba,
ikiwa ni ahadi iliyotolewa na kada wa Chama cha Mapinduzi kupitia NEC Vijana Ndg.Daudi Khamis Juma
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Rais Kazi Maalumu Mhe:Profesa Mark Mwandosya, akipokea viatu vya makubazi
kutoka kwa uongozi wa skuli ya Wawi Msingi Kisiwani Pemba, ikiwa ni miongoni
mwa zawadi alizopatiwa na uongozi wa skuli hiyo
Waziri wa Nnchi Ofisi
ya Rais Kazi Maalumu Mhe:Profesa Mark Mwandosya, akipokea zawadi ya ndizi ya
Mkono mmoja kutoka kwa Mwenyekiti wa Skuli hiyo Nassor Mohamed Ibrahim.
No comments:
Post a Comment