Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Bolizi Seif Ali Azindua Mradi wa Barabara Pemba.

 MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akikata utepe katika barabara ya Ole-Kengeja yenye Urefu wa KM 35, katika shamrashamra za miaka 52 ya Mpinduzi ya Zanzibar.
 MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika barabara ya Ole-Kengeja, yenye Urefu wa KM 35 katika shamrashamra za miaka 52 za Mpinduzi Matukufu ya Zanzibar
 VIONGOZI mbali mbali wa Serikali ya Mpinduzi ya Zanzibar wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Mohamed Aboud Mohamed wapili kutoka Kulia, wakimsikiliza Makamo wa Pili wa Rais Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Ole, mara baada ya kuweka jiwe la Msingi Barabara ya Ole-Kengeja
 WAJUMBE wa Mfuko wa barabara Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, wakati alipokuwa akizungumza na wananchi mara baada ya kuweka jiwe la msingi barabra ya Ole-Kengeja
 HALIMA Juma akisoma utenzi wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi barabara ya Ole-Kengeja, kazi hiyo iliyofanywa na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi
 WANANCHI mbali mbali Kisiwani Pemba, wakimsikiliza Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, mara baada ya kuweka Jiwe la Msingi katika barabara ya Ole-Kengeja
 KATIBU Mkuu Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar, Mhe:Dk Juma Malik Akil, akisoma taarifa ya kitaalamu ya Ujenzi wa Barabara ya Ole-Kengeja, mbele Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe;Balozi Seif Ali Iddi
MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Mhe:Mwanajuma Majid Abdalla, akizungumza na wananchi wa Ole mara baada ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, kuwekea Jiwe la Msingi barabara ya Ole-Kengeja.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.