Kiwanda cha kutengeneza magari ya Landrover nchini Uingereza jana kilitoa gari ya mwisho na kusema sasa basi kwa Gari hizi za Landrover ambazo kwetu Zanzibar ilikuwa ni gari muhimu tokea enzi za ukoloni na hadi hivi leo bado gari hizi zinatumika kutokana na umadhubuti wake.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia
wananchi wa majimbo ya Ilala, Segerea, Kivule na Ukonga katika uwanja wa
Kecha Kinyerezi Jijini Dar es Salaam
-
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment