Kiwanda cha kutengeneza magari ya Landrover nchini Uingereza jana kilitoa gari ya mwisho na kusema sasa basi kwa Gari hizi za Landrover ambazo kwetu Zanzibar ilikuwa ni gari muhimu tokea enzi za ukoloni na hadi hivi leo bado gari hizi zinatumika kutokana na umadhubuti wake.
Uzinduzi wa Kampeni ya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya Chama Cha
ADA-TADEA Viwanja vya Magirisi Wilaya ya Magharibi "B" Unguja
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha ADA -TADEA Mhe. Juma Ali Khatib
(kulia )akikabidhiwa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2025 ya Chama hicho,
wakati wa U...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment