Kiwanda cha kutengeneza magari ya Landrover nchini Uingereza jana kilitoa gari ya mwisho na kusema sasa basi kwa Gari hizi za Landrover ambazo kwetu Zanzibar ilikuwa ni gari muhimu tokea enzi za ukoloni na hadi hivi leo bado gari hizi zinatumika kutokana na umadhubuti wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Amefungua Jengo la Skuli ya Sekondani Kiwani Wilaya ya Mkoani Pemba Ikiwa
ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano wa Tanzania
-
Muonekano wa Jengo Jipya la Skuli ya Sekondari Kiwani lililojengwa na
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na kufunguliwa leo 23-4-2024 na Rais wa
Zanzibar na ...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment