Habari za Punde

Kituo cha Sheria Pemba Chatowa Elimu kwa Watu Wenye Watoto Wenmye Ulemavu Pemba.

Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Khalfan Amour Mohamed, akielezea namna kituo hicho, kinavyoendesha mafunzo mabli mbali kwa jamii, kulia ni Mratib wa Kituo hicho Fatma Khamis Hemed na kushoto ni mfanyakazi wa kituo Asia Awadhi Ahmed. 
Baadhi ya wazazi na walezi wa watoto wenye ulemavu Pemba, wakisikiliza mada kadhaa zilizowasilishwa kwenye mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika afisini kwao Chakechake
Mratibu wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed akifungua mafunzo ya siku mbili ya haki za bindamu, kwa wazazi na walezi wa watoto wenye ulemavu kisiwani Pemba, katikati ni Afisa Mipango wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba Khalfan Amour Mohamed na kushoto ni Asia Awadhi Ahmed ambae ni mfanyakazi wa ZLSC
Mmoja wa wazazi ambae anaishi na mtoto mwenye ulemavu, akichangia mada kwenye mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika afisini kwao mjini Chakechake Pemba
Mtoa mada kwenye mafunzo ya haki za binadamu Fatma Khamis Hemed, kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, ambapo mafunzo hayo yalifanyika kituoni hapo Chakechake
Mtoa mada kwenye mafunzo ya haki za binadamu Khalfan Amour Mohamed, kutoka Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, ambapo mafunzo hayo yalifanyika kituoni hapo Chakechake
Mmoja wa wazazi ambae anaishi na mtoto mwenye ulemavu, akichangia mada kwenye mafunzo ya haki za binadamu yalioandaliwa na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, na kufanyika afisini kwao mjini Chakechake Pemba.
(Picha na Haji Nassor, Pemba).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.