Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mhe Balozi Ali Karume, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel bwana Benoit Janin, wakati wa Uzinduzi wa Mtandao wa 4G uliozinduliwa katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Michezani Kisonge Zanzibar.
Wageni Waalikwa wakichati wakati wa Uzinduzi huo wa Mtandao wa 4G Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akizungumza wakati wa uzinduzi wa mtandao wa 4G uliofanyika katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Michezani Kisonge hapa mjini Zanzibar.
Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu, Mheshimiwa
Balozi Ali Karume akizungumza wakati wa uzinduzi wa mtandao wa 4G uliofanyika
katika viwanja vya Kisonge hapa mjini Zanzibar
Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Balozi Seif Ali Idd akitoa hotuba yake wakati wa
uzinduzi wa mtandao wa 4G wa Zantel uliofanyika katika viwanja vya Kisonge hapa
mjini Zanzibar
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin
akionyesha namna mtandao wa 4G unavyofanya kazi kwa kuzungumza kuipitia huduma
ya Skype wakati wa uzinduzi wa mtandao wa 4G wa Zantel uliofanyika katika viwanja
vya Kisonge hapa mjini Zanzibar
Msanii Barnaba
akitumbuiza wimbo maalumu wa kusherekea uzinduzi wa 4G, wakati wa uzinduzi wa
mtandao wa 4G wa Zantel uliofanyika katika viwanja vya Mnara wa Kumbukumbu ya Mapinduzi Michezani Kisonge hapa mjini
Zanzibar
Mkurugenzi Mtendaji
wa Zantel, Benoit Janin akimkabidhi zawadi ya simu ya mkononi iliyounganishwa
na mtandao wa 4G Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Balozi Seif Ali
Idd wakati wa uzinduzi wa mtandao wa 4G wa Zantel uliofanyika katika viwanja
vya Kisonge hapa mjini Zanzibar
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin
akimkabidhi zawadi ya simu ya mkononi iliyounganishwa na mtandao wa 4G Waziri
wa Mawasiliano na Miundombinu, Mheshimiwa Balozi Ali Karume. Anayetazama katikati
ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Balozi Seif Ali Idd.
Mfanyakazi wa Zantel akiwaunganisha baadhi ya
wateja katika mtandao wa 4G wakati wa uzinduzi wa mtandao wa 4G uliofanyika
katika viwanja vya Kisonge hapa mjini Zanzibar.
No comments:
Post a Comment