KOCHA wa timu wa timu ya Shaba ya Kojani inayoshiriki ligii kuu ya Zanzibar Ali Dau akizungumza na mwandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM Is-haka Mohamed Rubea mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi kuu Zanzibar kanda ya Pemba uwanja wa Gombani ambapo Shaba illala kwa mabao 7-1 (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WACHINA WAWILI WAKAMATWA DAR WAKISAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA WALIZOWEKA
KATIKA ‘VITABU FEKI’
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WATUHUMIWA sita wakiwemo raia wawili wa China ambao wamefahamika kwa majina
ya Chein Bai na Qixian Xin wamekamatwa eneo la Post...
57 minutes ago
Assalamu Alaykum!! Sasa jamani hii timu ya Shaba imecheza na nani!!
ReplyDelete