Askari wa Usalama Barabara na Wananchi wakiangalia magari yaliogongana uso kwa uso katika barabara ya kwa boko, katika ajali hiyo iliyozihushisha gari ya daladala na gari ndogo. Dereva wa gari ndogo amepata majaraha.
MAKAMU WA RAIS AKISHIRIKI JUBILEI YA MIAKA 25 YA UASKOFU WA RUWAICHI
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango wameungana na Viongozi pamoja na
Waumini w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment