Makarani wa Shehia ya Kibweni wakipitia majina ya Wakaazi wa Shehia ya Kibweni wakati wa kutowa Vyandarua kwa ajili ya Wananchi wa shehia hiyo ili kujikinga na maambukizi ya mbu wa malaria. Zoezi hilo la ugawaji wa Vyandarua linafanyika katika Mikoa yote ya Zanzibar
Wananchi wa Shehia ya Kibweni wakiwa katika makaazi ya Sheha wa Kibweni wakati wa zoezi hilo la ugawaji wa vyandarua hivyo.
No comments:
Post a Comment