Mkufunzi kutoka Idara ya vyama vya ushirika Pemba Amini
Omar Ali, akiwasilisha mada ya utawala bora, kwa viongozi wa Saccos Pemba,
kwenye mafunzo yaliofanyika Michakaini Chakechake Pemba
Afisa Miradi
wa GEWE wa kupinga ukatili wa kijinsia kutoka Chama cha waandishi wa habari
wanawake Tanzania TAMWA, ofisi ya Zanzibar Asha Abdi Makame, akielezea namna
mradi huo unavyoendelea kupinga vitendo hivyo, kwenye mafunzo yaliofanyika
Kiuyu Minungwini
Sheha wa
shehia ya Mchanga mdogo wilaya ya Wete Pemba,
Asaa Makame Said akichangia
ripoti ya ukatili wa kijinsia kwenye mkutano wa waratibu na masheha uliofanyika
Kiuyu minungwini.
Mjumbe wa
‘Mkombozi saccos’ ya wizara ya maji Pemba, Hamad Muhene Hamad, akiwasilisha
kazi za vikundi, kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo, yaliofanyika kituo cha
waalimu Michakaini Chakechake Pemba
Mjumbe wa
‘Teachers saccos’ ya wizara ya elimu Pemba, Fatma Seif Abeid, akiwasilisha kazi
za vikundi, kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliofanyika kituo cha waalimu
Michakaini Chakechake Pemba
Mjumbe wa
‘Mkombozi saccos’ ya wizara ya maji Pemba, Hamad Muhene Hamad, akiwasilisha
kazi za vikundi, kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo, yaliofanyika kituo cha
waalimu Michakaini Chakechake Pemba
Washiriki wa mafunzo ambao ni wajumbe wa Saccos
kisiwani Pemba, wakiwa tuli kusikiliza uwasilishaji wa mada kadhaa. kwenye
mafunzo yaliofanyika kituo cha uwalimu Michakaini Chakechake Pemba(Picha na Haji Nassor, Pemba),
No comments:
Post a Comment