MFUKO WA HIFADHI YA JAMII ZANZIBAR (ZSSF)
Taarifa kwa umma
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inawajali
wananchi
wake kwa kuona wanaondokana na hali yeyote hatarishi
ambayo itawasababishia madhara au vifo.
wake kwa kuona wanaondokana na hali yeyote hatarishi
ambayo itawasababishia madhara au vifo.
Moja ya hatua yake ni kuepusha majanga na ajali
zinazoweza kuepukika.
zinazoweza kuepukika.
Katika harakati zake hizo, ni muda mrefu imetoa tahadhari
kwa wananchi wanaoishi katika nyumba kongwe za mji
mkongwe ambazo zinaonekana kuwa katika hali mbaya kwa wakaazi wake na wapita njia.
kwa wananchi wanaoishi katika nyumba kongwe za mji
mkongwe ambazo zinaonekana kuwa katika hali mbaya kwa wakaazi wake na wapita njia.
‘Chawal Building’ maarufu jumba la treni lilioko darajani
ni
moja kati ya nyumba ambazo ni miaka zaidi ya miwili sasa
Smz imewataka wanaoishi humo kuondoka kutokana na
uchakavu wa jumba hilo lenye zaidi ya miaka 100!!!
moja kati ya nyumba ambazo ni miaka zaidi ya miwili sasa
Smz imewataka wanaoishi humo kuondoka kutokana na
uchakavu wa jumba hilo lenye zaidi ya miaka 100!!!
Mbali ya wakaazi hao kutoondoka; kwa sasa serikali
imeshatilia nguvu amri yake hiyo ili kuwanusuru wakaazi hao
na janga lolote la kuanguka jumba hilo lakini pia hata wapita
njia karibu na jengo hili.
imeshatilia nguvu amri yake hiyo ili kuwanusuru wakaazi hao
na janga lolote la kuanguka jumba hilo lakini pia hata wapita
njia karibu na jengo hili.
Kwa kuwa jumba hilo ni moja kati ya majengo yaliyoko
katika urithi wa kimataifa chini ya unesco, na kusimamiwa na mamlaka ya hifadhi na uendelezaji wa mji mkongwe; Serikali kupitia ZSSF inadhamiria kulikarabati na baadae kuendelea kutumiwa kwa shughuli mbalimbali ikiwemo kwa wafanyabiashara waliokuwemo kabla ya kukarabatiwa kwake.
katika urithi wa kimataifa chini ya unesco, na kusimamiwa na mamlaka ya hifadhi na uendelezaji wa mji mkongwe; Serikali kupitia ZSSF inadhamiria kulikarabati na baadae kuendelea kutumiwa kwa shughuli mbalimbali ikiwemo kwa wafanyabiashara waliokuwemo kabla ya kukarabatiwa kwake.
Katika utekelezaji wa hilo tayari michoro imekamilika na
hatua za kuiwasilisha Unesco zinaendelea ili kuelewa hatua
hiyo na kupata baraka zao.
hatua za kuiwasilisha Unesco zinaendelea ili kuelewa hatua
hiyo na kupata baraka zao.
Hatua nyengine ya dharura ya kuepusha maafa kwa
wananchi ni kulidhibiti eneo hilo kwa kulizunguushia uzio
eneo lote ili kutotumika kabisa kwa shughuli zozote wakati
matayarisho ya ujenzi yakiendelea.
wananchi ni kulidhibiti eneo hilo kwa kulizunguushia uzio
eneo lote ili kutotumika kabisa kwa shughuli zozote wakati
matayarisho ya ujenzi yakiendelea.
Serikali ambayo ndiyo msimamizi mkuu wa jumba la Chawal
ilikaa mara nyingi na wafanyabiashara na wakazi wake
kujadili hatma yao lakini pia ilitoa muda wa kutosha kwa
wahusika hao kuhama ambapo muda wa mwisho ni tarehe
05/06/2016.
ilikaa mara nyingi na wafanyabiashara na wakazi wake
kujadili hatma yao lakini pia ilitoa muda wa kutosha kwa
wahusika hao kuhama ambapo muda wa mwisho ni tarehe
05/06/2016.
Serikali na ZSSF inapenda kuchukua nafasi hii ya
kuwashukuru wale walioanza kutekeleza agizo hilo lakini pia
kupitia kwenu waandishi tunawakumbusha kuwa sasa muda
umemalizika hivyo tunawaomba kutekeleza amri hiyo yenye
faida kwa maisha yao na mali zao.
kuwashukuru wale walioanza kutekeleza agizo hilo lakini pia
kupitia kwenu waandishi tunawakumbusha kuwa sasa muda
umemalizika hivyo tunawaomba kutekeleza amri hiyo yenye
faida kwa maisha yao na mali zao.
Tunawakumbusha wafanyabiashara waliokuwemo katika
jumba hilo kuwa bado serikali haijabadilisha mtazamo wake
kwao, kwa kuwapa kipaumbele kabisa cha kuwapangisha
mara baada ya kukamilika ujenzi wake utaratibu muafaka.
jumba hilo kuwa bado serikali haijabadilisha mtazamo wake
kwao, kwa kuwapa kipaumbele kabisa cha kuwapangisha
mara baada ya kukamilika ujenzi wake utaratibu muafaka.
Aidha katika kusaidia utekelezaji wa agizo la kuhama,
zssf
imetayarisha usafiri wa magari bila ya malipo wa kuwasaidia
kuhamisha mali zao kwa kuzipeleka popote watakapo. hata
hivyo usafiri huo ni kuanzia leo tarehe 03/06/2016 hadi
tarehe 05/06/2016.
imetayarisha usafiri wa magari bila ya malipo wa kuwasaidia
kuhamisha mali zao kwa kuzipeleka popote watakapo. hata
hivyo usafiri huo ni kuanzia leo tarehe 03/06/2016 hadi
tarehe 05/06/2016.
Tunaomba mashirikiano ya wakaazi, wafanyabishara
pamoja na wananchi wote kwa ujumla ili kufanikisha ujenzi huo kwa faida yetu sote na urithi wa vizazi vijavyo.
pamoja na wananchi wote kwa ujumla ili kufanikisha ujenzi huo kwa faida yetu sote na urithi wa vizazi vijavyo.
Kwa pamoja tutaweza inshallah
IMETOLEWA NA
MKURUGENZI
MWENDESHAJI
MFUKO WA HIFADHI YA
JAMII ZANZIBAR (ZSSF)
No comments:
Post a Comment