Wananchi wakijaribu kulinyanyua gari la kifusi kujaribu kuokoa maisha ya baadhi ya waathirika waliofunikwa na kifusi baada ya Lori la mchanga kupata hitilafu za breki wakati likijaribu kupanda Mlima wa Welezo na kurudi chini kwa kasi.
Baadhi ya wananchi wakishuhudia ajali hiyo
No comments:
Post a Comment