BAADHI ya
Wanafunzi wa skuli ya Sekondari Madungu na Shamiani Chake Chake Pemba, wakiwa
nje ya hospitali baada ya kurudi kuwafariji wanafunzi wenzao tisa, waliopata
mshuko wa mabomu yaliyokuwa yakipigwa na vikosi vya ulinzi na Usalama Mkoa wa
kusini Pemba, katika maeneo ya mji wa Chake Chake asubuhi ya leo.(Picha Thureya Ghalib, PEMBA.)
BAADHI ya
wanafunzi wakiwa ndani ya hospitali ya chake chake, sehemu ya mapokezi ya
wagonjwa baada ya kuiwafikisha wanafunzi wenzao kupatiwa matibabu, kutokana na
mshtuko walioupata kufuatia uripuaji wa mabomu yaliyofanywa na vikosi vya
ulinsi na usalama Mkoa wa Kusini Pemba, katika maeneo mbali mbali ya mji wa
chake chake(Picha Thureya Ghalib,
PEMBA.)
BAADHI ya
waandishi wa habari kisiwani Pemba, wakifanya mahojiano na baadhi ya wanafunzi
walifikishwa hospitali ya Chake Chake baada ya kupata mshtuko ya uripuaji wa
mabomu, yaliyofanywa na vikosi vya ulinzi na usalama kisiwani Pemba, katika mji
wa chake chake leo asubuhi(Picha Thureya
Ghalib, PEMBA.)
MMOJA wa
Wanafunzi wa skuli ya Madungu Sekondari waliolazwa katika hospitali ya chake
chake baada ya kupata mshtuko wa uripuaji wa mabomu yaliyofanywa na vikosi vya
ulinzi na usalama mkoa wa kusini Pemba, katika maeneo mbali mbali ya Mji wa
Chake Chake(Picha Thureya Ghalib,
PEMBA.)
No comments:
Post a Comment