Habari za Punde

Pemba Press Club yafanya Semina kwa waandishi wa habari

 
MWANAHARAKATI wa masuala ya Wanawake Kisiwani Pemba, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Mhe:Salama Mbarouk Khatib, akiwasilisha mada ya Changamoto zinazowakabili wanawake, katika Mafunzo ya siku tatu kwa waandishi wa habari Pemba, yaliyoandaliwa na Pemba Press Cluba kwa ufadhili wa TMF, juu ya utekelezaji wa mradi wa SAUTI YANGU MTAJI WANGU, katika ukumbi wa uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

 
MWAKILISHI kutoka Mfuko wa Vyombo vya habari Tanzania (TMF) Radhia Mawanga, akichangia mada katika mkutano wa waandishi wa habari kisiwani Pemba, ulioandaliwa na Pemba Press Cluba kwa ufadhili wa TMF, juu ya utekelezaji wa mradi wa SAUTI YANGU MTAJI WANGU, katika ukumbi wa uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

 
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Pemba, wakiwa katika picha ya pamoja na watendaji kutoka Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF), mara baada ya kumaliza mafunzo ya siku tatu yaliyoandaliwa na Pemba Press Club kwa ufadhili wa TMF, juu ya utekelezaji wa mradi wa SAUTI YANGU MTAJI WANGU, katika ukumbi wa uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)


WAANDISHI wa Magazeti wakijadiliana mambo mbali mbali wakati wa kazi za vikundi, kwenye mafunzo ya siku tatu yaliyoandaliwa na Pemba Press Cluba kwa ufadhili wa TMF, juu ya utekelezaji wa mradi wa SAUTI YANGU MTAJI WANGU, katika ukumbi wa uwanja wa michezo Gombani.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.