Habari za Punde

Utoaji sadaka kwa watoto yatima waliochini ya taasisi ya Samail Academy Kisiwani Pemba

 
WANAFUNZI ambao ni mayatima wakiwa na walezi wao, wakasikiliza kwa makini hutuba ya mgeni rasmi, wakati wa utoaji wa sadaka kwa watoto mayatima kisiwani Pemba, waliopo chini ya Taasisi ya Samail Academy Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

 
AFISA mdhamini Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Pemba, Jokha Khamis Makame akizungumza na watoto mayatima na walezi wao, wakati wa utoaji wa sadaka kwa watoto hao waliochini ya taasisi ya Samail Academy Kisiwnai Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)


AFISA mdhamini Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Pemba, Jokha Khamis Makame, akimkabidhi bahasha ya fedha mtoto Nahla Gharib Omar ambaye ni yatima, wakati wa utoaji wa sadaka kwa watoto hao walipo chini ya taasisi ya Samail Academy Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.