Mbunge wa Jimbo la Mpendae Mhe Salim Turky na Mwakilishi wa Jimbo la Chwaka Mhe Issa Haji Gavu wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar ikizikutanisha timu za Majimbo yao mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu hizo zimetoka sare ya bao 1--1
SHIRIKA LA MISSION TANZANIA LALETA NEEMA YA KUWASAIDIA WATOTO WA KIKE
WALIOPATA MIMBA ZA UTOTONI
-
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA
Jamii wakimemo walezi na wazazi wametakiwa kuhahakikisha wanaweka misingi
imara na kuwa mstari wa mbele katika kuwalinda watoto w...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment