MJUMBE wa baraza la wawakilishi Zanzibar nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba Mhe: Zulfa Mmaka Omar, akiwakabidhi wazazi wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Chakechake, ambapo kabla alishirikiana na vijana kadhaa, katika usafi wa kimazingira hospitalini hapo
MJUMBE wa baraza la wawakilishi Zanzibar nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba Mhe: Zulfa Mmaka Omar, akiwakabidhi wazazi wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Chakechake, ambapo kabla alishirikiana na vijana kadhaa, katika usafi wa kimazingira hospitalini hapo
MJUMBE wa baraza la wawakilishi Zanzibar nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba Mhe: Zulfa Mmaka Omar, akiwakabidhi wazazi wa watoto waliolazwa katika hospitali ya Chakechake, ambapo kabla alishirikiana na vijana kadhaa, katika usafi wa kimazingira hospitalini hapo
MKURUGENZI wa mashitaka Zanzibar Ibrahim Mzee Ibrahim, akiwa katika kikao cha kazi na waendesha mashitaka wa ofisi hiyo kisiwani Pemba, wakati alipokutana nao na kubadilisha uzoefu mjini Chakechake
Daktari Dhamana
wa hospitali ya Chakechake Pemba Ali
Habib, akitoa neno la shukuran kwa mjumbe wa baraza la wawakilishi Zanzibar
nafasi za vijana mkoa wa kusini Pemba, Mhe: Zulfa Mmaka Omar, mara baada ya kufanya
kazi ya usafi hospitalini hapo na kuwapa zawdi watoto waliolazwa
Daktari Dhamana wa hospitali ya Chakechake kulia Ali Habib,
akisalimiana na na mjumbe wa baraza la wawakilishi nafasi za vijana mkoa wa
kusini Pemba, Mhe: Zulfa Mmaka Omar mara baada ya mwakilishi huyo na vijana,
kufanya usafi wa mazingira hospitalini hapo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment