Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, ndugu Idrissa Kitwana Mustafa awasili leo Sweden akifuatana na ujumbe wa watu kumi kutoka Makunduchi. Kwenye uwanja wa ndege wa Arlanda Sweden Mkuu huyo alifanya mazungumzo na mwenyeji wake beans Bojorn Sweden juu ya kuimarisha uhusiano uliokuwepo Kati ya Wadi ya Makunduchi na Manispaliti ya Sindsvall.
JAJI MUTUNGI AWATAHADHARISHA WANANCHI MATUMIZI YA AI
-
MSAJILI wa Vyama vya Siasa Tanzania, Jaji Fransis Mutungi amewataka
wananchi wawe makini na matumizi ya akili bandia au akili unde (AI), na
habari za uongo...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment