Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, ndugu Idrissa Kitwana Mustafa awasili leo Sweden akifuatana na ujumbe wa watu kumi kutoka Makunduchi. Kwenye uwanja wa ndege wa Arlanda Sweden Mkuu huyo alifanya mazungumzo na mwenyeji wake beans Bojorn Sweden juu ya kuimarisha uhusiano uliokuwepo Kati ya Wadi ya Makunduchi na Manispaliti ya Sindsvall.
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA
HATIFUNGANI
-
Na Oscar Assenga,TANGA
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira wametembelea maendeleo ya
utekelezaji wa mradi wa Maji wa Hatifungani ya Kijani...
10 minutes ago
0 Comments