Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, ndugu Idrissa Kitwana Mustafa awasili leo Sweden akifuatana na ujumbe wa watu kumi kutoka Makunduchi. Kwenye uwanja wa ndege wa Arlanda Sweden Mkuu huyo alifanya mazungumzo na mwenyeji wake beans Bojorn Sweden juu ya kuimarisha uhusiano uliokuwepo Kati ya Wadi ya Makunduchi na Manispaliti ya Sindsvall.
Airtel Yazindua Teknolojia ya Airtel VoLTE Kwa Mawasiliano ya Kisasa BILA
CHENGA
-
· Airtel yaja na Airtel VoLTE, wateja sasa kuperuzi na kuongea LIVE BILA
CHENGA
Dar es Salaam, December 17, 2025,
KAMPUNI ya Airtel Tanzania leo imezin...
5 hours ago
0 Comments