Habari za Punde

Malisho yanapoadimika


SUALA la Mabadiliko ya Tabia ya nchi limekuwa ni tishio kubwa katika dunia, hali hiyo imepelekea kukauka kwa malisho ya wanyama. Pichani ng'ombe wakihangaika kutafuta majani huko Wilaya ya Micheweni Kisiwani

Pemba.(Picha na Ali Mbarouk, ZAC-PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.