Mh. Juma Ali Juma akionesha fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Kwa tiketi ya Chama cha CCM ,mara tuu baada ya kuchukuwa katika Ofisi za muda za tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) ziliopo Skuli ya Sekondari ya Kiembe samaki. Kulia ni Ali Suleiman Shihata, kushoto wa mwanzo Abdalla Faki Mwenyekiti wa ccm Wilaya ya diman kichama, alovaa kofia ni Mjumbe Msuri Mjumbe Mwenyekiti wa wilaya ya Mfenesini kichama
VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAKABIDHI MIUNDOMBINU YA VYOO KWA SHULE MBILI
WILAYANI BUTIAMA NA BARIADI.
-
-NI KATIKA SHULE ZA MSINGI SIMA A NA MADARAKA, IKITIMIZA ILIYOTOLEWA WAKATI
WA MSAFARA WA TWENDE BUTIAMA 2025.
Simiyu & Mara, Tanzania 17Machi 2026: Taasis...
2 hours ago
0 Comments