Mh. Juma Ali Juma akionesha fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Kwa tiketi ya Chama cha CCM ,mara tuu baada ya kuchukuwa katika Ofisi za muda za tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) ziliopo Skuli ya Sekondari ya Kiembe samaki. Kulia ni Ali Suleiman Shihata, kushoto wa mwanzo Abdalla Faki Mwenyekiti wa ccm Wilaya ya diman kichama, alovaa kofia ni Mjumbe Msuri Mjumbe Mwenyekiti wa wilaya ya Mfenesini kichama
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment