Mh. Juma Ali Juma akionesha fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Dimani Kwa tiketi ya Chama cha CCM ,mara tuu baada ya kuchukuwa katika Ofisi za muda za tume ya Taifa ya uchaguzi (NEC) ziliopo Skuli ya Sekondari ya Kiembe samaki. Kulia ni Ali Suleiman Shihata, kushoto wa mwanzo Abdalla Faki Mwenyekiti wa ccm Wilaya ya diman kichama, alovaa kofia ni Mjumbe Msuri Mjumbe Mwenyekiti wa wilaya ya Mfenesini kichama
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment