Habari za Punde

Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Azindua Baraza la Vijana

Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba,Mhe.Salama Mbarouk Khatib, Akizindua Baraza la Vijana Wilaya ya Chakechake Pemba,hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Afisi ya Mkuu wa Wilaya Chake,kushoto Ofisa Mdhamini Wizara ya Uwezeshaji, Vijana Ustawi wa Jamii, Wazee Pemba,Bi Khadija Khamis Rajab (kulia ) na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Wilaya ya Chake Chake Bakar Hamad Bakar.


Mkuu wa Wilaya ya Chake Chake Pemba, Salama Mbarouk Khatib, akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi wa baraza la Vijana Wilaya , Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Chake Chake baada ya kulizinduwa Baraza hilo huko katika kiwanja cha Tenis Chake Chake Pemba.(Picha na Bakar Mussa-Pemba.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.