Habari za Punde

ZRB Watembelea na Kumfariji Mfanyabiashara ya Hoteli ya Archipelago Pemba.

MENEJA wa Hoteli ya Archipelago Sushanta, akitoa maelezo kwa Viongozi wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) wakati walipomtembelea kumfariji mwekezaji huyo, baada ya hoteli hiyo sehemu ya chini kuingia maji kufuatia mvua zilizonyesha Kisiwani hapa.
MENEJA wa Hoteli ya Archipelago Sushanta akitoa maeleozo kwa Viongozi wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) kufuatia sehemu ya mitambo ya Umeme kuharibika baada ya kuingia maji ya Mvua, kufuatia mvua zilizonyesha Kisiwani Pemba na kupelekea hasara mbali mbali kwa hoteli hiyo.
BAADHI ya Viti vilivyoathirika katika hoteli ya Archipelago kufuatia sehemu ya kumbu za hoteli hiyo za chini kuingia maji ya Mvua iliyokuwa ikinyesha na kuharibu vitu mbali mbali katika hoteli hiyo.
MENEJA wa Hoteli ya Archipelago Sushanta, akiwaonyesha baadhi ya Vitu vilivyoharibika katika hoteli hiyo Viongozi wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), kufuatia kuingia maji kwa sehemu ya chini ya hoteli hiyo iliyopo mjini Chake Chake.
Picha na Abdi Suleiman. Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.