Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja Mama Salma Kikwete (Mb),
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Norman Sigala,
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, kuashiria
ufunguzi wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata yenye urefu wa kilometa 64
katika eneo la Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo mkoani Pwani. Wengine katika
picha ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Ndikilo, Katibu Mkuu wa Wizara ya
Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga, Mbunge wa Chalinze Ridhiwan Kikwete , Katibu wa
Itikadi na Uenezi ya CCM Hamphrey Polepole pamoja na viongozi wengine wa
Serikali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe pamoja Mama Salma Kikwete (Mb),
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Norman Sigala,
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, kuashiria
ufunguzi wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata yenye urefu wa kilometa 64
katika eneo la Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo mkoani Pwani. Wengine katika
picha ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Ndikilo, Katibu Mkuu wa Wizara ya
Ujenzi Eng. Joseph Nyamhanga, Mbunge wa Chalinze Ridhiwan Kikwete , Katibu wa
Itikadi na Uenezi ya CCM Hamphrey Polepole pamoja na viongozi wengine wa
Serikali.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na
viongozi wengine wa Kiserikali na Wabunge, akivuta kitambaa kuashiria jiwe la
ufunguzi wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia
Msata yenye urefu wa kilometa 64 katika eneo la Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo
mkoani Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa mara baada ya kuweka
jiwe la ufunguzi wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata yenye urefu wa kilometa
64 katika eneo la Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo mkoani Pwani
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo
na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kabla ya
kufungua Barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata yenye urefu wa kilometa 64 katika
eneo la Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo mkoani Pwani
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kabla
ya kufungua Barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata yenye urefu wa kilometa 64
katika eneo la Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo mkoani Pwani
Mbunge wa Bagamoyo Dkt. Shukuru
Kawambwa akisalimia kabla ya ufunguzi wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata
yenye urefu wa kilometa 64 katika eneo la Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo mkoani
Pwani
Mtendaji Mkuu wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale akielezea hatua za ujenzi wa Madaraja katika barabara ya Bagamoyo-Msata huku Rais Dkt. Magufuli akimsikiliza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha
ya pamoja na Wafanyakazi wa TANROADS mkoa wa Pwani na Dar es Salaam mara baada
ya kufungua barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata yenye urefu wa kilometa 64.
Wengine katika picha ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Eng. Evarist Ndikilo, Mama Salama
Kikwete, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu Profesa Norman
Sigala, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa Katibu
wa Itikadi na Uenezi ya CCM Hamphrey Polepole pamoja na viongozi wengine wa
Serikali.
Mtendaji
Mkuu wa Wakala wa TANROADS Eng. Patrick Mfugale akizungumza kabla ya ufunguzi
wa Barabara ya Bagamoyo-Makofia Msata yenye urefu wa kilometa 64 katika eneo la
Daraja la Ruvu chini, Bagamoyo mkoani Pwani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua kiwanda cha Viuadudu cha Kibaha
mkoani Pwani.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa
Ujenzi Profesa Makame Mbarawa pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge
ya Miundombinu Prof. Norman Sigala wakati wimbo wa Taifa ukipigwa kabla ya
ufunguzi wa barabara hiyo ya Bagamoyo-Msata.
No comments:
Post a Comment