Mshambuliaji wa Timu ya Yanga African akimpita beki wa timu ya mlandege wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo bao 2--0 uliofanyika usiku na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa Soka Zanzibar.
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya...
4 hours ago
0 Comments