Mshambuliaji wa Timu ya Yanga African akimpita beki wa timu ya mlandege wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo bao 2--0 uliofanyika usiku na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa Soka Zanzibar.
CMA , TIC Yatekeleza Maono ya Rais Samia ya Kuboresha Mazingia ya Uwekezaji
-
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) Usekelege Mpulla
(kushoto) na Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Gilead
Teri, wakipe...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment