Mshambuliaji wa Timu ya Yanga African akimpita beki wa timu ya mlandege wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo bao 2--0 uliofanyika usiku na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa Soka Zanzibar.
MARRY CHATANDA :SERIKALI CHINI YA DK SAMIA IMEITEKELEZA VEMA ILANI 2020-2025
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MRATIBU wa Uchaguzi Mkuu Mkoa wa Dar es Salaam Marry Chatanda amesema
Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan i...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment