Habari za Punde

Mchezo wa Kirafiki Kati ya Yanga African na Timu ya Mlandege Uliofanyika Jana Usiku Uwanja wa Amaan Timu ya Yanga Imeshinda 2--0.

Mshambuliaji wa Timu ya Yanga African akimpita beki wa timu ya mlandege wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Yanga imeshinda mchezo huo bao 2--0 uliofanyika usiku na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa Soka Zanzibar.















 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.