Mchezaji wa Timu ya Duma akiwa na mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Netiboli Kanda ya Unguja inayofanyika katika viwanja vya Gymkhana Unguja Timu ya Duma imeshinda kwa mabao 46-34.
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment