Habari za Punde

Mchezo wa Fainali PBZ Mkombozi Cup Kati ya PBZ na FFU Uwanja wa Amaan Timu ya FFU inaongoza Bao 1-0



Kikosi cha Waamuzi waliochezesha mchezo wa Fainali ya Kombe la PBZ Mkumbozi Cup 2017. wakwanza Rashid Ramadhani, Suleiman Zuhuri, Abubakary Khatib na Hija Haji.  kushoto Nahodha wa Timu ya PBZ Said Khamis Mussa na kushoto Nahodha wa Timu ya FFU Khamis Said Abdallah. 
Kikosi cha Timu ya PBZ kikipasha kabla ya kuaza kwa mchezo huo wa Fainali ya Kombe la PBZ Mkombozi Cup 2017.
Kikosi cha Timu ya FFU kikipasha kabla ya kuaza kwa mchezo huo wa Fainali ya Kombe la PBZ Mkombozi Cup 2017.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.