Habari za Punde

Waziri wa mafuta na gesi wa Oman afanya ziara kisiwani Pemba

 MKUU wa mkoa wa kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, akiwa na mgeni wake Waziri wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamed Al Ruhmi wakati alipowasili na ujumbe wake kwa ziara ya kutwa moja kisiwani Pemba, wakiwa uwanja wa ndege wa Karume kisiwani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamed Al Ruhmi, akisalimiana na Mdhamini wa kamisheni ya utalii kisiwani Pemba, Suleiman Amour wakati waziri huyo na ujumbe wake mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege Pemba, kwa ziara ya kutwa moja, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamed Al Ruhmi (mwenye kofia), akisalimiana na kiongozi mkuu wa madaktari wa kichina dk Chen Er Dong, wakati waziri huyo wa ujumbe wake ulipofika hospitali hapo, kwa ziara ya kutwa moja, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmi akikaguzwa hospitali ya Abdulla  Mzee, pamoja na ujumbe wake waliofika kwenye hospiali hiyo kwa ziara ya siku moja kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmi akikaguzwa hospitali ya Abdulla  Mzee, pamoja na ujumbe wake waliofika kwenye hospiali hiyo kwa ziara ya siku moja kisiwani Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman, Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmim akisalimiana na Mwalimu wa skuli ya sekondari ya Uweleni Mkoani Pemba, waziri huyo alipoitembelea skuli hiyo aliosoma, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku moja kisiwani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba),
 WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman, Mohammed Bin  Hamal Al Ruhmi, akifurahia jambo na Mwalimu mkuu wa skuli ya Uweleni, Shehe Hassan, skuli ambayo waziri huyo alisoma, ( Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamal Al Ruhmi, akinywa maji ya dafu, wakatialipofika kijiji cha Shumba vyamboni wilaya ya Micheweni Pemba pamoja ujumbe wake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kutwa moja kisiwani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 : WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmi, wakijipatia chakula cha mchana, wakati yeye na ujumbe wake walipofika kijiji cha Shumba vyamboni wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku moja kisiwani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
 : WAZIRI wa Mafuta na Gesi wa serikali ya Oman Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmi, wakijipatia chakula cha mchana, wakati yeye na ujumbe wake walipofika kijiji cha Shumba vyamboni wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya siku moja kisiwani humo, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 MKUU wa Idara ya misitu Pemba Said Juma Ali, akiueleza ujumbe wa serikali ya Oman uliokuwa ukiongozwa na waziri wa Mafuta na Gesi Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmi, historia ya msitu wa hifadhi wa Ngezi uliopo Micheweni mkoa wa kaskazini Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).

 UJUMBE wa serikali ya Oman ukiongozwa na Waziri wa Mafuta na Gesi Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmi, ukiwa kwenye sehemu mbali mbali za kiwanda cha mafuta ya makonyo Wawi Chakechake Pemba, pamoja na mwenyeji wao Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, ambapo Meneja uzalishaji Ramadhan, akiwapa maelezo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 
UJUMBE wa serikali ya Oman ukiongozwa na Waziri wa Mafuta na Gesi Mohammed Bin Hamal Al-Ruhmi, ukiwa kwenye sehemu mbali mbali za kiwanda cha mafuta ya makonyo Wawi Chakechake Pemba, pamoja na mwenyeji wao Mkuu wa Mkoa wa kusini Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, ambapo Meneja uzalishaji Ramadhan, akiwapa maelezo, (Picha na Haji Nassor, Pemba). 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.