Mkurungenzi Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima Bi Mashavu Ahmada Faki akiwa katika ziara ya kutembelea Watahiniwa wa Kidatu cha Pili wakati wa zoezi la Ufanyaji wa Mitihani yao akiwa katika ziara ya kutembelea Skuli zinazoendelea na Mitihani yao alitembelea Skuli za Chokocho, Uweleni,Michezani, Mkanyageni na Makombeni kwa Wilaya Mkoani Pemba kuagalia zoezi hilo linavyoendelea katika Skuli hizo.
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment