Mkurungenzi Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima Bi Mashavu Ahmada Faki akiwa katika ziara ya kutembelea Watahiniwa wa Kidatu cha Pili wakati wa zoezi la Ufanyaji wa Mitihani yao akiwa katika ziara ya kutembelea Skuli zinazoendelea na Mitihani yao alitembelea Skuli za Chokocho, Uweleni,Michezani, Mkanyageni na Makombeni kwa Wilaya Mkoani Pemba kuagalia zoezi hilo linavyoendelea katika Skuli hizo.
RC RUVUMA ASHUHUDIA MAKABIDHIANO YA MRADI WA KIHISTORIA WA UJENZI WA CHUO
CHA UHASIBU SONGEA
-
Na Albano Midelo
Mji wa Songea mkoani Ruvuma umeanza kuandika historia mpya ya elimu ya juu
baada ya miongo ya kusubiri Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahm...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment