Mkurungenzi Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima Bi Mashavu Ahmada Faki akiwa katika ziara ya kutembelea Watahiniwa wa Kidatu cha Pili wakati wa zoezi la Ufanyaji wa Mitihani yao akiwa katika ziara ya kutembelea Skuli zinazoendelea na Mitihani yao alitembelea Skuli za Chokocho, Uweleni,Michezani, Mkanyageni na Makombeni kwa Wilaya Mkoani Pemba kuagalia zoezi hilo linavyoendelea katika Skuli hizo.
MIKOKO YAPEWA KIPAUMBELE KITAIFA
-
-Waziri: Hekta 158,000 za hifadhi zilindwe, ziwe ngao ya mabadiliko ya
tabianchi
Na Mwandishi Wetu, Lindi
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe Dkt. Ashatu ...
1 hour ago





0 Comments