Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)
Dkt. Albina Chuwa akikagua ujenzi wa
Makao Makuu ya ofisi hiyo unaoendelea mkoani Dodoma. Ujenzi wa ofisi hiyo unatarajia
kukamilika mwezi Februari, 2018.
Muonekano wa jengo jipya la Makao Makuu ya Ofisi ya
Taifa ya Takwimu (NBS) linaloendelea kujengwa mkoani Dodoma
Muonekano wa jengo jipya la Makao Makuu ya Ofisi ya
Taifa ya Takwimu (NBS) linaloendelea kujengwa mkoani Dodoma. (PICHA ZOTE ZA VERONICA KAZIMOTO).
No comments:
Post a Comment