Mwenyekiti wa ChamaCha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kushoto Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, kulia Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana , Makamu Mwenyekiti CCM Bara Philip Mangula Rais Mstaaf wa Tanzania Benjam Mkapa na Rais Mstaaf wa Zanzibar Dk. Amani Karume kushoto Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu, Rais Mstaaf wa Tanzania Alhajj Ali Hassan Mwinyi a Rais Mstaaf wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. wakiwa wamesimama baada ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma.
WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali
wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bi...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment