Mwenyekiti wa ChamaCha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kushoto Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, kulia Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana , Makamu Mwenyekiti CCM Bara Philip Mangula Rais Mstaaf wa Tanzania Benjam Mkapa na Rais Mstaaf wa Zanzibar Dk. Amani Karume kushoto Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu, Rais Mstaaf wa Tanzania Alhajj Ali Hassan Mwinyi a Rais Mstaaf wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. wakiwa wamesimama baada ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma.
Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Kati ya Uhamiaji na Junguni Mchezo
Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedung Timu ya Uhamiaji Imeshinda kwa Bao 4-0
-
Mshambuliaji wa Timu ya Junguni na beki wa timu ya Uhamiaji wakiwania
mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ mchezo uliyofanyika leo
20-10-2025 U...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment