Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli, Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein kulia na kushoto Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Abdurahaman Kinana wakifurahia jambo wakati wakielekea katika Ukumbi wa Mkutona wa Jakaya Kikwete kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM, uliofanyika Dodoma wiki hii 18-12-2017.
WAZIRI WA MIFUGO AIPONGEZA TADB KWA KUREJESHA USHIRIKA WA WAFUGAJI, AZINDUA
VITUO VYA KUKUSANYIA MAZIWA
-
Na Diana Deus- Kagera.
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kushirikiana na Serikali
kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi, imezindua rasmi vit...
6 minutes ago
0 Comments