Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli, Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein kulia na kushoto Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Abdurahaman Kinana wakifurahia jambo wakati wakielekea katika Ukumbi wa Mkutona wa Jakaya Kikwete kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM, uliofanyika Dodoma wiki hii 18-12-2017.
DKT. MWIGULU AKAGUA HALI YA BANDARI YA BARAZANI MKOANI LINDI
-
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 21, 2025 amekagua hali ya
bandari ya Barazani mkoani Lindi na kuiagiza Mamlaka ya Bandari Tanzania
kukamlish...
1 hour ago
0 Comments