Mwenyekiti wa ChamaCha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kushoto Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, kulia Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahaman Kinana , Makamu Mwenyekiti CCM Bara Philip Mangula Rais Mstaaf wa Tanzania Benjam Mkapa na Rais Mstaaf wa Zanzibar Dk. Amani Karume kushoto Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Makamu wa Rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu, Rais Mstaaf wa Tanzania Alhajj Ali Hassan Mwinyi a Rais Mstaaf wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete. wakiwa wamesimama baada ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa CCM uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma.
TSL yazindua mpango wa ubunifu wa pamoja kupanua fursa za uwekezaji
-
Kampuni ya Tanzania Securities Limited (TSL) imepiga hatua nyingine kubwa
leo kwa kuzindua mipango miwili ya uwekezaji wa pamoja na ya kibunifu:
Mfuko wa I...
12 minutes ago
0 Comments