Habari za Punde

Mapokezi ya Mwenyekiti wa UVCCM Ndg. Kheri Mkoani Mwanza.

Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James kulia akisalimiana na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Ndg:Anthony Dialo mara baada ya kuwasili katika ofisi za Ccm Mkoa wa Mwanza.
Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akiteta jambo na Mwenyekiti wa Ccm mkoa wa mwanza Dr. Anthony dialo.
Kaimu katibu mkuu wa Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi Shaka Hamdu Shaka akizungumza na Wanachama wa CCM Mkoa mwanza katika Ofisi za CCM Mkoa wa Mwanza.
Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akizungumza na wanachama wa chama cha mapinduzi mkoa wa mwanza akielekea Uwasha wa CCM KIRUMBA.
 Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Ilemela na Naibu waziri wizara ya Ardhi Dkt Angelina Mabula alipowasili katika mapokezi  Uwanja wa CCM Kirumba
 Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akisalimia na mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ilemela
Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akiwasalimia na wanachama wa chama cha mapinduzi na jumuiya zake Uwanja wa Ccm kirumba.
wanachama wa Ccm Wakipugia mikono
 Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akivikwa skafu mara baada ya kuwasili Uwanja wa CCM Kirumba
 zoezi likiendelea
 Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akiwasalimia Wanachama wa CCM na Jumuiya zake waliohudhulia katika  uwanja wa CCM Kirumba
 
 vijana wa CCM wakionyesha ukomavu wao
Sehemu ya Viongozi

 kikundi cha ngoma toka bujoro kikitumbuiza
 Mwanachama wa CCM Akiwa amebebelea kipeperushi kwa uso wa furaha
 Sehemu ya madiwani na viongozi wilaya ya ilemela
 Viongozi meza kuu wakifuatilia mkutano
Katibu wa CCM Mkoa wa mwanza Ndg:raymond akizungumza katika mkutano
 Mama mzazi wa Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akitoa shukrani kwa wana CCM .
 Mbunge wa jimbo la Ilemela na naibu waziri wa Ardhi Dkt Angelina Mabula akizungumza katika mkutano wa kumpongeza kwa ushindi na kumkaribisha Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James
 Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akipokea taarifa za pongezi kwa wazee wa kata ya kirumbo
 Mkuu wa mkoa wa mwanza John mongela akizungumza
 wazee wa mkoa wa mwanza wakimsimika Utemi Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James
 Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akinyanyua silaa juu mara baada ya kusimikwa.(PICHA NA FAHADI SIRAJI)


Makamu mwenyekiti wa UVCCM akizungumza.
 Kaimu katibu mkuu wa Umoja wa vijana wa CCM Shaka Hamdu Shaka akizungumza na viongozi pamoja na Wanachama wa CCM na Jumuiya zake mkoa wa Mwanza wakati akimkaribisha Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James kuzungumza.(PICHA NA FAHADI SIRAJI)
 Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James akizungumza na Viongozi pamoja na wanachama wa CCM na jumuiya zake mkoa wa mwanza (PICHA NA FAHADI SIRAJI)
wanachama wakifurahia hotuba ya Mjumbe wa Kamati kuu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kheri D James(PICHA NA FAHADI SIRAJI)





Zawadi ya vijana kata ya Kirumba (Picha na Fahadi Siraji)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.